Saturday, August 9, 2014


AZAM FC YATOKA 0-0 NA RAYON SPORT KOMBE LA KAGAME, KMKM NAYO YATOKA 1-1, KCC YAICHAPA GOR MAHIA 2-1

AZAM-SHANGILIA2Na Baraka Mpenja
MABINGWA wa ligi kuu soka Tanzania bara, Azam fc wamelazimisha suluhu tasa ya bila kufungana na wenyeji Rayon Sport katika mchezo wa pili wa kundi A kombe la Kagame lililoanza kutimua vumbi leo viwanja viwili tafouti nchini Rwanda.
Katika mechi nyingine, KMKM imetoka sare ya kufungana bao 1-1 dhidi ya Atlabara ya Sudan kusini katika mchezo wa ufunguzi uliopigwa mapema katika uwanja wa Amahoro.
Kusoma zaidi bofya www.bkmtata.blogspot.com

No comments:

Post a Comment