AZAM FC YATOKA 0-0 NA RAYON SPORT KOMBE LA KAGAME, KMKM NAYO YATOKA 1-1, KCC YAICHAPA GOR MAHIA 2-1
Na Baraka Mpenja
MABINGWA wa ligi kuu soka Tanzania bara, Azam fc wamelazimisha suluhu tasa ya bila kufungana na wenyeji Rayon Sport katika mchezo wa pili wa kundi A kombe la Kagame lililoanza kutimua vumbi leo viwanja viwili tafouti nchini Rwanda.
MABINGWA wa ligi kuu soka Tanzania bara, Azam fc wamelazimisha suluhu tasa ya bila kufungana na wenyeji Rayon Sport katika mchezo wa pili wa kundi A kombe la Kagame lililoanza kutimua vumbi leo viwanja viwili tafouti nchini Rwanda.
Katika mechi nyingine, KMKM imetoka sare ya kufungana bao 1-1 dhidi ya Atlabara ya Sudan kusini katika mchezo wa ufunguzi uliopigwa mapema katika uwanja wa Amahoro.
Kusoma zaidi bofya www.bkmtata.blogspot.com
No comments:
Post a Comment